Home > Terms > Swahili (SW) > biti

biti

biti, ambayo inasimamia kwa tarakimu jozi, ni kitengo kidogo cha habari tarakimu. Biti nane sawa Baiti moja. picha za tarakimu mara nyingi kueleza idadi ya baiti zinazotumika kuwakilisha kila pikseli. yaani mfano 1-baiti ni monokromu; picha -8-bit inaauni rangi 256, wakati baiti 24 au 32 inaauni rangi ya kweli.

0
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Blossaries

  • 0

    Followers

Industry/Domain: Language Category: Grammar

lugha tenganishi

lugha tenganishi inaunda lugha za mofimu moja (yaani, kwa mzizi bila udogo) huwa zinatumia maneno fupi pale ambapo lugha nyingine inatumia neno moja ...

Featured blossaries

10 Most Popular YouTubers

Category: Entertainment   2 10 Terms

Aggressive sharks

Category: Animals   5 5 Terms

Browers Terms By Category