Home > Terms > Swahili (SW) > dhambi asili

dhambi asili

dhambi ambayo kwayo binadamu wa kwanza waliasi amri ya Mungu, kwa kuchagua kufuata mapenzi yao wenyewe badala ya mapenzi ya Mungu. Matokeo walipoteza neema ya utakatifu ya awali, na kuwa chini ya sheria ya kifo; dhambi kuwa wote sasa duniani. Mbali na dhambi ya binafsi ya Adamu na Hawa, dhambi ya asili inaeleza hali ya anguko la asili ya binadamu ambayo huathiri kila mtu amezaliwa duniani, na ambao Kristo, "mpya Adam," alikuja kutukomboa sisi (396-412).

0
  • Part of Speech: noun
  • Synonym(s):
  • Blossary:
  • Industry/Domain: Religion
  • Category: Catholic church
  • Company:
  • Product:
  • Acronym-Abbreviation:
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Blossaries

  • 0

    Followers

Industry/Domain: Education Category: Schools

elimu ya sehemu nyeti

kosa la kiaibu la tamko ambalo lilifaa kumaanisha "elimu ya umma" wakati wa udhamini uliotolewa na Wilaya ya Maeneo ya Shule za Simba ...

Featured blossaries

HTM49111 Beverage Operation Management

Category: Education   1 9 Terms

co-working space

Category: Business   2 3 Terms